资讯
Wananchi Jijini Arusha wamevutiwa na bidhaa mbalimbali za Nishati Safi ya Kupikia na wameipongeza Serikali kwa kuona umuhimu wa kufikisha bidhaa hizo katika Maonesho yanayoendelea mkoani humo kuelekea ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Jumuiya ya Kampuni zinazohusika na Usambazaji wa Mitungi ya Gesi (LPG) -TZLPGA kwa lengo la kuwashukuru kwa ...
Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa amesema kuwa katika kuimarisha thamani ya madini ya Tanzanite, Serikali imefanya marekebisho ya Kanuni za Eneo Tengefu la Mirerani za Mwaka 2019 ili ...
KATIBU Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Dk. Kedmon Mapana, amewataka waandaaji wa matamasha nchini kutoishia tu kuimba na kusifu, bali pia kuangalia namna ya kusaidia wahitaji katika ...
Jeshi la Sudan limetangaza mafanikio makubwa baada ya kukomboa mji wa Wad Madani, mji muhimu mashariki mwa nchi hiyo, kutoka mikononi mwa vikosi vya wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF). Tukio ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko. Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Jumuiya ya Mamlaka za Usimamizi wa Usafiri Majini Barani Afrika zimetakiwa kushirikiana na kuungana ili ...
Ushiriki wa Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa G20 uliofanyika hapa Rio de Janeiro, Brazil na kuhusisha nchi tajiri 19 duniani, Umoja wa Ulaya (EU) na Umoja wa Afrika (AU), umekuwa wa manufaa ...
Wahariri wa vyombo vya habari nchini wametakiwa kutumia vyombo hivyo kuihamasisha jamii kufanya uchunguzi wa afya upande wa magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo magonjwa ya moyo. Rai hiyo imetolewa jana na ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko. Na Mwandishi Wetu, Mtanza nia Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi katika Taasisi ...
Wakuu wa polisi kutoka nchi sita za Afrika Mashariki na Kati wameahidi kushirikiana kukabiliana na uhalifu wa mtandaoni ambao unaonekana kushika kasi katika ukanda huu. Kauli hiyo imetolewa na ...
Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Ardhini kutoka LATRA kwa kushirikiana na Shirika la Asasi za Kiraia nchini (FCS), wamesaini mkataba wa makubaliano ya miaka mitatu ya programu ...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana kutumia fursa ya uwekezaji unaofanya na Serikali katika sekta ya TEHAMA ili kukuza uchumi binafsi na Taifa kwa ujumla. Ameyasema hayo leo Oktoba 17, 2024 ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果