Mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa rais wa Kenya Mwai Kibaki yanafanyika leo katika mojawapo ya shughuli za mwisho za kumpa safari ya mwisho kiongozi huyo aliyeongoza Kenya kwa miaka 10. Siku ya ...
Aliyekuwa rais wa Kenya Mwai Kibaki atazikwa kijijini kwake Othaya, Nyeri Jumamosi ya tarehe 30, Aprili. Mwili wake utakuwa bungeni kati ya Jumatatu tarehe 25 Aprili na Jumatano, Aprili 27.
当前正在显示可能无法访问的结果。
隐藏无法访问的结果