Takwimu hizo zimetolewa mjini Musoma leo Jumamosi Januari 25, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi wakati akizindua ...
Picha na Beldina Nyakeke Musoma. Washiriki wa kozi ndefu kutoka Chuo cha Taifa Cha Ulinzi (NDC) wamefika mkoani Mara kwa ajili ya ziara ya siku tano ya mafunzo kwa vitendo kuhusu masuala ya kiusalama ...