BOSI mpya atakayesimamia usajili Arsenal, Andrea Berta yupo tayari kumvuta kikosini Bruno Guimaraes ikiwa ni sehemu ya kuunda ...
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba, amesema Mfuko unaendelea kutimiza azma ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupan ...
Nchini Mali, ushuru mpya wa huduma za simu ulianza kutumika mnamo Machi 5. Serikali sasa inakata 10% ya gharama ya kila ...
Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) – Tawi la Tanzania, imeipongeza bodi iliyomaliza muda wake kwa mchango ...
HII ni kufuru. Manchester United itajenga uwanja mpya wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 100,000 wanaoketi, imeelezwa.
Ni sura mpya katika nafasi za ukurugenzi ndani ya Chadema, ndivyo unavyoweza kusema baada ya Kamati Kuu ya chama hicho iliyojifungia kwa siku mbili jijini Dar es Salaam kufanya uteuzi.
China imeapa siku ya Ijumaa kuchukua "hatua zote muhimu" baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kusema kuwa ataweka ushuru wa ziada wa 10% kwa bidhaa za China zinazoagizwa kutoka nje.
Ni zama mpya kwa chama cha TLP baada kuingia madarakani kwa mwenyekiti mpya, Richard Lyimo, mwenye maono, fikra, ndoto na ...
Waziri Mkuu wa Japani Ishiba Shigeru ameahidi kupata fedha za kutosha kwa ajili ya mipango ya kuwezesha wakazi kurejea katika ...
Bahari mpya inaibuka barani Afrika, kulingana na utafiti mpya, ni mchakato ambao ulidhaniwa ungechukua kati ya miaka milioni 5 na 10, lakini utafiti mpya wa kisayansi unaonesha kuibuka huko ...
DODOMA: WAKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Mikoa na Vikosi kutoka Tanzania Bara na Zanzibar wametakiwa kutumia mbinu ...
Juhudi za ujenzi mpya wa makazi katika mkoa wa Ishikawa uliokumbwa na tetemeko la ardhi uliopo katikati mwa Japani ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results