资讯
MIAKA 32 iliyopita, Simba SC walifika fainali ya michuano ya Afrika (CAF Cup Winners' Cup) mwaka 1993, wakapambana vikali dhidi ya Stella Abidjan ya Ivory Coast lakini wakateleza. Kilio hicho ...
Viongozi mbalimbali wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki pamoja na mabalozi wanaowakikisha mataifa yao nchini Tanzania wakishiriki mbio za siku ya Afrika Dar es Salaam. Balozi ...
Profesa Mohamed Yakub Janabi kutoka Tanzania ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mpya wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO, kufuatia kikao maalum cha Kamati ya Kanda ya Afrika ...
GENEVA — Kikao Maalum cha Pili cha Kamati ya Kanda ya Afrika ya WHO kilichofanyika leo Jumapili, Mei 18, 2025 kimemchagua Profesa Mohamed Janabi kuwa Mkurugenzi wa Kanda wa Shirika la Afya Duniani ...
Klabu ya soka ya Simba ya Tanzania inajitupa uwanjani kesho Jumamosi kuikaba koo Klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco katika mchezo wa duru ya kwanza ya fainali ya kuwania kombe la shirikisho ...
Mkutano huo uliotangazwa siku ya Jumatano na serikali ya Afrika Kusini na uliopangwa kufanyika Mei 21, pia unakuja baada ya Marekani kuwakubali Waafrika Kusini weupe 59 kama wakimbizi siku ya ...
Ripoti mpya kuhusu “Hali ya Hewa Afrika 2024” iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani WMO imeonya kwamba muongo wa joto zaidi kuwahi kushuhudiwa Afrika ...
Jumamosi wiki hii, Mei 17, wawakilishi wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika, Simba wanatupa karata katika mechi ya kwanza ya hatua ya fainali ya mashindano hayo msimu huu. Mchezo huo ...
Dar es Salaam. Simba imeandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kutinga mara nyingi fainali za mashindano ya klabu Afrika baada ya jana, Aprili 28 kufuzu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ...
MSHAMBULIAJI wa Yanga Sc Clement Mzize, amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki wa michuano ya Klabu bingwa Afrika na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 amekuwa ...
MKUTANO wa Kilele wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) mwaka 2024 utafanyika Beijing, China kuanzia Septemba 4 hadi 6. Katika mkutano huo pamoja na ...
Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu. Inatokea sasa hivi ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果