资讯

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza marufuku mpya ya usafiri dhidi ya mataifa 12 - na saba kati hayo yanatokea barani Afrika. Tumekuwa tukifuatilia kile ambacho watu katika bara zima ...
Waziri mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Augustin Matata Ponyo amehukumiwa kifungo cha miaka kumi jela na kazi ngumu baada ya kutiwa hatiani kwa ufisadi. Kufuatia mapambano ya ...
Mashambulizi ya hivi karibuni yanayoripotiwa kufanywa na Israel dhidi ya Iran yamezua taharuki kubwa duniani, yakionesha wazi undani na hatari ya mzozo wa muda mrefu kati ya mataifa haya mawili ...
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imezindua rasmi Kituo cha Mawasiliano chenye lengo la kuimarisha mawasiliano na kuwahudumia kwa ufanisi wadau mbalimbali wa sekta ya elimu nchini. Akizungumza ...
Katika kuhakikisha elimu ya nishati safi ya kupikia inamfikia kila Mtanzania, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Lazaro Twange ametumia sehemu ya ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya umeme katika ...
Dar es Salaam. Serikali imewasilisha bajeti ya kimkakati kwa mwaka wa fedha 2025/26, ikilenga kuiweka nchi katika nafasi imara ya kisiasa, kiuchumi na kijamii. Katika mkakati huo, imeelekeza ...
Machi 8 ni siku ya kimataifa ya wanawake. DW inaadhimisha siku hiyo kwa kuangazi masuala yanayowahusu wanawake katika maeno mbalimbali duniani.
HALMASHAURI ya Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera imeadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kupanda miti mia tano ya matunda katika Hospitali ya Wilaya. Akizungumza wakati wa tukio hilo Kaimu Mkurugenzi ...
TANZANIA imezindua Sera ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2001 Toleo la 2024 ambapo Watanzania wametakiwa kuitumia kulinda na kutetea maslahi ya taifa na kukuza ushirikiano kimataifa. Tukio hilo limetajwa kuwa ...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo akiongoza shughuli ya kutetekeza bangi iliyofyekwa kwenye mashamba yenye ukubwa wa zaidi ya ekari nne katika Kijiji cha Mekomariro wilayani Bunda. Picha na ...
Siku moja baada ya marufuku ya kusafiri iliyotangazwa na Donald Trump siku ya Alhamisi, Juni 5, kuanza kutekelezwa, Chad na Congo-Brazzaville, zote zikiwa kwenye orodha ya nchi 12 ambazo raia wake ...
Katikati ya mwezi Juni mwaka 2024, maelfu ya vijana walianza kujitokeza katika miji mbalimbali hasa jiji kuu Nairobi, kushinikiza mswada huo wa fedha kuondolewa na serikali. Maandamano hayo ...