Amekuwa akifanya hivi mara kwa mara katika mji wa Malindi, kusini-mashariki mwa Kenya, tangu mkewe alipotoweka Agosti mwaka jana. Bw Mwiti pia amekuwa akimtafuta pamoja na watoto katika msitu wa ...
WAZIRI wa ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Dk. Khalid Salum Muhammed, amesema ni kweli kuna baadhi ya meli za mizigo zilikataliwa kuingia katika Bandari ya Malindi Zanzibar kutokana na kuwekewa vikwazo ...
Siku chache baada ya ACT- Wazalendo kuitaka Serikali kuvunja mkataba wa uendeshaji wa Bandari ya Malindi kati ya Shirika la Bandari (ZPC) na Kampuni ya Africa Global Logistic (AGL) ya ...